online bookstore delivery

Swift Delivery

Your convenience, our priority

Holiday Value Packs

Holiday Value Packs

Redhot Books Pack

safe shopping with storymoja

Safe Shopping

Pay with Mpesa, Visa..

excellent customer service

Customer Service

We are happy to serve you

Narudi Nyumbani.

Narudi Nyumbani.

“... Wakati wa ukombozi ukifika haukawilishwi. Ukombozi ni
mithili ya mawingu; yashibapo, hayakawii kuiachilia mvua. Huu
ndio wakati tuliomo sasa.”
Jitihada za ukombozi zinahitaji ujasiri wa kukabili mambo ambayo
wengi huyaogopa. Kama ilivyo safari yenye milima na miteremko,
jitihada hizo hukumbwa na changamoto kama kukataliwa na
jamaa na marafiki au hata usaliti. Hata hivyo, mwishowe jitihada
hizo huzaa matunda.
Narudi Nyumbani ni tamthilia yenye mvuto wa aina yake
inayoeleza azma ya mhusika Shani kuizindua jamii na kuikomboa
kutoka kwenye tamaduni hasi. Katika azma yake, anapigwa kumbo
na watu mbalimbali na kupigwa jeki na wengine. Je, Shani
anafaulu katika azma hii? Je, mbona kauli ‘narudi nyumbani’? Ni
nani anayerudi nyumbani? Anarudi nyumbani akitoka wapi?

Author:
Mziwanda Banda

Parents are also buying

Narudi Nyumbani.

KSh 650.00

Get Our Newsletter

Sign up to our newsletter to be the first to receive news and special offers.